Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mzee Yusuph Makamba katika makazi yake Tegeta Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Mei 2026.
Monday, May 11, 2026
𝐌𝐀𝐊𝐀𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐀𝐌𝐓𝐄𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄𝐀 𝐊𝐔𝐌𝐉𝐔𝐋𝐈𝐀 𝐇𝐀𝐋𝐈 - 𝐌𝐙𝐄𝐄 𝐘𝐔𝐒𝐔𝐏𝐇 𝐌𝐀𝐊𝐀𝐌𝐁𝐀
Tags
# Habari
Kuhusu - Singidaniblog
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,












No comments:
Post a Comment