𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀𝐔 𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐆𝐄𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, May 11, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀𝐔 𝐌𝐁𝐄𝐋𝐄 𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐍𝐀 𝐖𝐀𝐆𝐄𝐍𝐈

Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningefika hatua ya kuogopa hata kuzungumza ndani ya nyumba yangu mwenyewe. Mwanzoni ndoa yetu ilikuwa nzuri. Tuliheshimiana, tulishauriana, na hata watoto walikuwa wanaona upendo kati yetu. Lakini polepole mambo yalianza kubadilika.

Mke wangu alianza kunijibu kwa ukali mbele ya watoto. Mwanzoni nilipuuzia nikidhani labda alikuwa anapitia msongo wa mawazo au uchovu wa kawaida. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilizidi kuwa mbaya. Alianza kunikosoa mbele ya wageni. Wakati mwingine niliposema jambo, alikuwa anakata kauli yangu katikati na kuniambia nimekosea....ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad