Sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningefika hatua ya kuogopa hata kuzungumza ndani ya nyumba yangu mwenyewe. Mwanzoni ndoa yetu ilikuwa nzuri. Tuliheshimiana, tulishauriana, na hata watoto walikuwa wanaona upendo kati yetu. Lakini polepole mambo yalianza kubadilika.
Mke wangu alianza kunijibu kwa ukali mbele ya watoto. Mwanzoni nilipuuzia nikidhani labda alikuwa anapitia msongo wa mawazo au uchovu wa kawaida. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilizidi kuwa mbaya. Alianza kunikosoa mbele ya wageni. Wakati mwingine niliposema jambo, alikuwa anakata kauli yangu katikati na kuniambia nimekosea....ENDELEA KUSOMA









No comments:
Post a Comment