𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐎𝐍𝐃𝐎𝐊𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐊𝐄𝐀 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐌𝐔𝐒𝐄𝐕𝐄𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, May 11, 2026

𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐎𝐍𝐃𝐎𝐊𝐀 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐊𝐄𝐀 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐌𝐔𝐒𝐄𝐕𝐄𝐍𝐈

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka nchini, kuelekea Uganda kuhudhuria Sherehe za Uapisho wa Rais wa nchi hiyo Mhe. Yoweri Kaguta Museveni Mei 12, 2026. 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad