𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐆𝐔𝐍𝐃𝐔𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐈𝐍𝐀𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐊𝐎𝐒𝐄 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐄𝐋𝐈 𝐈𝐍𝐓𝐄𝐑𝐕𝐈𝐄𝐖 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐒𝐈𝐓𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐆𝐔𝐍𝐃𝐔𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐈𝐍𝐀𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐊𝐎𝐒𝐄 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐄𝐋𝐈 𝐈𝐍𝐓𝐄𝐑𝐕𝐈𝐄𝐖 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐒𝐈𝐓𝐀

Kwa miaka miwili nilikuwa naishi maisha ya kukataliwa. Kila wiki nilikuwa natuma CV, nikajaza applications, na kwenda interviews nikiwa na matumaini makubwa. Wakati mwingine nilikuwa nafika hatua ya mwisho kabisa ya usaili, mpaka naambiwa, “Tutakupigia simu.” Lakini simu haikuwahi kuja.

Mwanzoni nilijipa moyo. Nilijua maisha si rahisi na kila mtu hupitia changamoto. Lakini kadri muda ulivyopita, hali ilianza kuniumiza zaidi.
Nilikuwa na qualifications nzuri, nilijitahidi kuvaa vizuri kwenye interviews, na hata kujifunza jinsi ya kujibu maswali kwa confidence.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad