Sikuwahi kufikiria kwamba ndoa yangu ingeweza kufika mahali pa kuvunjika kiasi kile. Tulikuwa tumejenga maisha pamoja kwa miaka kadhaa, tukapitia changamoto nyingi, na licha ya tofauti ndogo ndogo za kawaida, nilihisi kila kitu kingekuwa sawa.
Lakini polepole mambo yalianza kubadilika. Migogoro ilianza kuongezeka nyumbani
Kila wiki kulikuwa na mabishano mapya. Mara kuhusu pesa, mara mawasiliano, mara watu wa nje kuingilia ndoa yetu. Mwanzoni nilidhani ni kipindi kigumu tu kingepita.
Lakini siku moja ugomvi mkubwa ulitokea. Baada ya maneno makali na hasira nyingi......ENDELEA KUSOMA









No comments:
Post a Comment