𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐄𝐉𝐀 𝐖𝐄𝐍𝐆𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐃𝐔𝐊𝐀 𝐋𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐊𝐀𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐌𝐁𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐙𝐎 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐖𝐀𝐓𝐄𝐉𝐀 𝐖𝐄𝐍𝐆𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐃𝐔𝐊𝐀 𝐋𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐊𝐀𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐌𝐁𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐙𝐎 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐁𝐈𝐒𝐀

Biashara yangu ilikuwa kila kitu kwangu. Niliitegemea kulipa kodi, kulea familia, na kujisitiri kila siku. Kwa muda mrefu mambo yalikuwa yanaenda vizuri, si kwa utajiri mkubwa, lakini nilikuwa napata kile cha kuniwezesha kuendelea. Lakini ghafla hali ilibadilika. Wiki moja ilipita bila mauzo ya kueleweka.

Nilidhani ni kawaida tu, labda watu hawakuwa na pesa kipindi hicho. Lakini wiki ya pili ilipofika, hali ikawa mbaya zaidi. Nilikuwa nafungua duka asubuhi na kukaa hadi jioni bila mteja hata mmoja wa maana. Kilichoniumiza zaidi ni kuona maduka yaliyokuwa yamenizunguka yakipata wateja kawaida huku langu likiwa kimya kana kwamba halionekani.

ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad