𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗖𝗥𝗨𝗦𝗛 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗔𝗔𝗡𝗭𝗘 𝗞𝗨𝗡𝗜𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗠𝗢𝗝𝗔 𝗡𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗞𝗜𝗠𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗠𝗬𝗔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 3, 2026

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗖𝗥𝗨𝗦𝗛 𝗪𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗔𝗔𝗡𝗭𝗘 𝗞𝗨𝗡𝗜𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗠𝗢𝗝𝗔 𝗡𝗜𝗟𝗜𝗬𝗢𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔 𝗞𝗜𝗠𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗠𝗬𝗔

Kwa muda mrefu nilikuwa nikimpenda mtu ambaye hakuwahi kuniangalia mara mbili. Kila nilipojaribu kuzungumza naye, nilihisi kama niko mbali sana naye. Nilianza kujiuliza kama kweli nina nafasi yoyote kwake au ni ndoto tu.

Nilijaribu kuwa karibu naye kwa njia za kawaida kuongea, kusaidia pale inapobidi, na hata kujaribu kuonyesha hisia zangu kidogo kidogo.

Lakini bado hakukuwa na mabadiliko. Ilifika hatua nikaanza kukata tamaa kabisa. Nilihisi kama nawapoteza muda wangu na hisia zangu kwa mtu ambaye hanioni hata kidogo. Lakini bado ndani yangu kulikuwa na kitu hakikukubali kuacha kabisa.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad