𝐍𝐒𝐒𝐅 𝐘𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐘𝐀 𝐒𝐇𝐔𝐊𝐑𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐌𝐄𝐈 𝐌𝐎𝐒𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, May 2, 2026

𝐍𝐒𝐒𝐅 𝐘𝐀𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐘𝐀 𝐒𝐇𝐔𝐊𝐑𝐀𝐍𝐈 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐌𝐄𝐈 𝐌𝐎𝐒𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔

Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Bw. Masha Mshomba, akipokea tuzo kutoka kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tuzo hiyo imetolewa kwa NSSF kwa kuwa miongoni mwa wadhamini wa sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kitaifa mkoani Njombe.

Aidha, Dkt. Samia alisema: “Serikali imezindua skimu ya hifadhi ya jamii ili kuhakikisha wananchi waliojiajiri wanajumuishwa katika mfumo wa hifadhi ya jamii.”


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad