Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Tatu wa Uganda Mhe. Rukia Isaya Nakadama mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe nchini humo tarehe 12 Mei, 2026. Rais Dkt. Samia amewasili nchini Uganda kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Uapisho wa Rais Mteule nchi hiyo, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, zitakazofanyika katika Viwanja vya Kololo Jijini Kampala nchini humo.
Tuesday, May 12, 2026
Home
Burudani
𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐄𝐍𝐓𝐄𝐁𝐁𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎
𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐄𝐍𝐓𝐄𝐁𝐁𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎
Tags
# Burudani
Kuhusu - Singidaniblog
Burudani
Tags:
Burudani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,










No comments:
Post a Comment