𝗗𝗥𝗔𝗠𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗜𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗪𝗘𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗢𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗚’𝗢𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗨𝗞𝗔 𝗗𝗔𝗥𝗔𝗝𝗔 𝗠𝗣𝗔𝗞𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗣𝗢𝗥𝗨𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗖𝗛𝗢𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, May 9, 2026

𝗗𝗥𝗔𝗠𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗜𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗪𝗘𝗭𝗜 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗢𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗚’𝗢𝗠𝗕𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗨𝗞𝗔 𝗗𝗔𝗥𝗔𝗝𝗔 𝗠𝗣𝗔𝗞𝗔 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗣𝗢𝗥𝗨𝗗𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘 𝗪𝗔𝗟𝗜𝗖𝗛𝗢𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗔

Siku hiyo ilikuwa ya kawaida kabisa mpaka nilipoamka asubuhi na kugundua ng’ombe wangu wawili hawapo. Nilidhani labda wamefunguliwa kimakosa na kutoka wenyewe, lakini baada ya kuwatafuta maeneo yote bila mafanikio, nilijua wazi walikuwa wameibwa.

Uchungu ulionijaa siku hiyo siwezi hata kuueleza. Hao ng’ombe ndio walikuwa tegemeo langu kubwa. Nilikuwa nimetumia miaka kuwalea, na ghafla wakatoweka usiku mmoja tu.
Tulianza kuwatafuta kila mahali pamoja na majirani, lakini hakuna aliyekuwa na taarifa yoyote.


 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad