RAIS SAMIA NA MUDAVADI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, May 5, 2026

RAIS SAMIA NA MUDAVADI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa Mawaziri na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya Mhe. Dkt. Musalia Mudavadi Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma tarehe 05 Mei, 2026. Kushoto ni Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Dkt. William Samoei Ruto.


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad