Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Singida wakipita mbele ya jukwaa kuu wakati maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo kitaifa yamefanyika Mkoa wa Njombe. Maadhimisho hayo kimkoa yamefanyika Uwanja wa Bombadia Manispaa ya Singida na mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Halima Dendego.
Wafanyakazi wa shirika hilo wakionesha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambayo imekuwa ikisisitizwa kutumia umeme zaidi na kuacha matumizi ya mkaa na kuni ili kutunza mazingira.
Maandamano yakipita mbele ya mgeni rasmi.
Maonesho mbalimbali yakipita mbele ya mgeni rasm Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego (hayupo pichani).
Wafanyakazi wa shirika hilo wakionesha matumizi ya nishati safi ya kupikia ambayo imekuwa ikisisitizwa kutumia umeme zaidi na kuacha matumizi ya mkaa na kuni ili kutunza mazingira.
Maandamano yakipita mbele ya mgeni rasmi.
Maonesho mbalimbali yakipita mbele ya mgeni rasm Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego (hayupo pichani).Imeandaliwa na Dotto Mwaibale
simu namba 0754362990









No comments:
Post a Comment