Meneja uwekezaji na fedha wa kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) East Africa. Bw Hamisi Li akipokea tuzo ya ushiriki wa makampuni katika kushirikisha wazawa kwenye miradi mbalimbali hapa ( Local content) kutoka kwa Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati, Dkt Dotto Biteko hivi karibuni kwenye kongamano la uchumi na uwkezaji lililoratibiwa na Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi (NEEC)
Tuesday, 28 May 2024
Home
Biashara
KAMPUNI YA CHINA CIVIL ENGINEERING CONSTRUCTION CORPORATION (CCECC EAST AFRICA YAPEWA TUZO
KAMPUNI YA CHINA CIVIL ENGINEERING CONSTRUCTION CORPORATION (CCECC EAST AFRICA YAPEWA TUZO
Tags
# Biashara
Kuhusu - Singidaniblog
Biashara
Tags:
Biashara
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,








No comments:
Post a Comment