RAIS DKT. SAMIA ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KATAVI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, July 14, 2024

RAIS DKT. SAMIA ATEMBELEA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA KATAVI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mkoa wa Katavi Dkt. Serafini Patrice kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Hospitali hiyo mara baada ya kuwasili kwenye Hospitali hiyo Mpanda Julai 14, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Dkt. Maria Matei kuhusu wodi ya watoto njiti (NICU) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu akizungumza na Wananchi mara baada ya kutembelea Hospitali hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akiwapungia mkono wananchi wakati akiondoka mara baada ya kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda katika Muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiangalia moja ya mashine ya CT scan iliyopo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda katika muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo,
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali mmoja wa mzazi aliyejifungua katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda wakati wa muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia pamoja na Waaguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda wakati wa Muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad