Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati ukiimbwa Wimbo
wa Taifa pamoja na ule wa Afrika Mashariki katika viwanja vya Jengo la Makao
Makuu ya Polisi Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi Mhandisi Hamad Masauni, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus
Wambura pamoja na viongozi wengine wakati akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa
Jengo la Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Katavi lililopo Mpanda tarehe 14 Julai,
2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi Mhandisi Hamad Masauni, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Camillus
Wambura pamoja na viongozi wengine wakati akikata utepe kufungua Jengo la Makao
ya Polisi Mkoa wa Katavi lililopo Mpanda tarehe 14 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi, Maafisa wa
Jeshi la Polisi pamoja na Wageni mbalimbali mara baada ya kufungua Jengo la
Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai, 2024.
Taswira ya Jengo la Makao Makuu
ya Polisi Mkoa wa Katavi mara baada ya kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mpanda Mkoani humo tarehe
14 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara
baada ya kukagua ofisi mbalimbali zilizopo kwenye Jengo la Makao Makuu ya
Polisi Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi
nchini (IGP) Camillus Wambura mara baada ya kufungua Jengo la Makao ya Polisi
Mkoa wa Katavi lililopo Mpanda tarehe 14 Julai, 2024.


















No comments:
Post a Comment