RAIS SAMIA AKIFURAHI NA WATOTO WA JAMII YA KIMASAI MVOMERO - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, 4 August 2024

RAIS SAMIA AKIFURAHI NA WATOTO WA JAMII YA KIMASAI MVOMERO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Watoto wa Jamii ya Kimasai mara baada ya kukagua mabanda ya Maonesho kuhusu Kampeni ya Tutunzane, Mvomero mkoani Morogoro tarehe 03 Agosti, 2024.



 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad