TFS, TK MOVEMENT, WANAFUNZI WALIVYOFANIKISHA UPANDAJI MITI KITAIFA WILAYA YA IKUNGI SINGIDA - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, 23 March 2025

TFS, TK MOVEMENT, WANAFUNZI WALIVYOFANIKISHA UPANDAJI MITI KITAIFA WILAYA YA IKUNGI SINGIDA

Mratibu wa TK Movement Wilaya ya Ikungi, Hussein Mseule akitoa elimu ya utunzaji wa mazingira kwa wanafunzi wakati wa siku ya uoandaji miti kitaifa katika wilaya hiyo
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Unyahati, Emanuel Mbaga akiwajibika
Elimu ya upandaji miti ikiendelea kutolewa.
Taswira ya siku hiyo ya upandaji miti
Miche ya miti ikipandwa.
Elimu ya upandaji miti ikitolewa.


 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad