Mratibu wa TK Movement Wilaya ya Ikungi, Hussein Mseule (katikati) pamoja na na Mwakilishi wa Afisa Misitu wa Wilaya ya Ikungi, Emanuel Pius kushoto Wakimkabidhi miche ya miti Mkuu wa Shule ya Secondari ya Munkinya, Faraja Mlelwa wakati wa siku ya upadaji miti kitaifa.
Viongozi wa TK Movement wa Wilaya ya Ikungi, Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Ikungi, Viongozi wa Kata ya Dungunyi, Walimu na Wanafunzi wa shule ya Secondari ya Munkinya wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kushiriki upandaji wa miti.
Wanafunzi wakipata mafunzo ya umuhimu wa upandaji miti na utunzaji wa mazingira.
Sunday, 23 March 2025
TK MOVEMENT WILAYA YA IKUNGI YAONGOZA UPANDAJI MITI KITAIFA WILAYANI HUMO
Tags
# Habari
Kuhusu - Singidaniblog
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,











No comments:
Post a Comment