.........................................
Na Zuhura Jafari, Mbeya
CHAMA cha kutetea Haki na Maslahi ya Walimu Tanzania (CHAKAMWATA), Kimewaruhusu Waalimu kuwashtaki
waajiri wao ambao ni Wakrgenzi wa Halmashauri ikiwemo kuwapeleka Mahakamani.
Akizungumza na walimu Katibu Mkuu wa Chama hicho Taifa,
Meshaki Kapange alisema maslahi ya walim
yamekuwa yakipuzwa na baadhi ya wakurgenzi ambao ni waajiri.
“Sisi kama chama tupo tayari kubeba dhamana ya khakikisha
maslahi ya walim yanatekelezwa,” alisema Kapange.
Alisema Tanzania ni nchi huru lakini watumishi wa sekta ya
elimu hasa walimu hawaapo huru kutokana mazingira magum ya kazi yao.
Alisema baada ya kanzishwa kwa chama cha walimu (CWT) walim
waliowengi waliingizwa kwenye chama hicho bila ya ridhaa yao na kjikta
wakikatwa mishahara jambo ambalo haikwa sahihi kwani ushirikishwaji katika
jambo hilo ulipaswa kzingatiwa.
Alisema kndi hilo la walim ambalo ni la muhim katika Taifa
limekwa likichuliwa poa tu na kudharaliwa ikiwa pamoja na kunyanyaswa na kushindwa kuwa na maamuzi sahihi.








No comments:
Post a Comment