DKT. TULIA AMKABIDHI NYUMBA, MUHITAJI MZEE OBED AMBONISYE WA MATEMA KYELA - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, 1 April 2025

DKT. TULIA AMKABIDHI NYUMBA, MUHITAJI MZEE OBED AMBONISYE WA MATEMA KYELA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi nyumba ya kuishi Mzee Obed Ambonisye ambaye ni mlemavu pamoja na familia yake waliokuwa wakiishi katika mazingira magumu. Hafla ya kukabidhi nyumba hiyo imefanyika Matema wilayani Kyela Mkoa wa Mbeya.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akiwa katika picha ya pamoja na Mzee Obed Ambonisye na viongozi na wananchi baada ya kukabidhi nyumba hiyo.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akifungua mlango wa nyumba hiyo kuashiria kuikabidhi rasmi kwa Mzee Obed Ambonisye.

Muonekano wa nyumba hiyo aliyokabidhiwa Mzee Obed Ambonisye.
 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad