....................................
Na Dotto Mwaibale, Singida
HALMASHAURI ya Wilaya ya Manyoni Mkoa wa Singida imetoa mafunzo kwa ajili ya kukusanya kodi ya majengo
Mafunzo haya yametolewa Aprili 15, 2025 kwa watendaji pamoja na wenyeviti wa vitongoji ili kuwawezesha kutumia mfumo maalumu wa kukusanyia kodi hizo za majengo.
Kodi ya majengo itatozwa kwa majengo ambayo hayana LUKU kwani kwa wenye LUKU kodi hizo hukatwa moja kwa moja








No comments:
Post a Comment