Kijana mmoja aitwaye Suma, mzaliwa na mkazi wa Dar es Salaam, alikuwa amechoka na maisha ya kukata tamaa ambayo yalimpitia kwa miaka mingi.
Akiwa na umri wa miaka 27, bado aliishi kwa mama yake maeneo ya Tabata baada ya kushindwa kupata ajira ya kudumu licha ya kusoma kwa bidii na kufanya kila jitihada za kutafuta kazi.
Marafiki wake wengi walishakwenda mbali kimaendeleo, lakini yeye maisha yalikuwa yanazidi kusimama.
Suma alikuwa kijana mwenye ndoto kubwa. Kila siku alipokuwa akipita Kariakoo au Posta, aliangalia majengo makubwa, magari ya kifahari, na watu waliovalia vizuri, akijiambia kuwa siku moja naye angefika hapo.
Lakini kadiri miaka ilivyopita, ndoto hizo zilionekana kumponyoka.
Katika siku ambayo hakutarajia chochote kipya, Suma alikutana na rafiki yake wa zamani, Kelvin, wakiwa Sinza.
Kelvin, ambaye zamani walikuwa wote hoi bin taabani, sasa alikuwa amejiendeleza sana—anaendesha gari na kufungua biashara ndogo ndogo. Baada ya mazungumzo mafupi, Kelvin alimwambia kuwa yeye alipata mabadiliko makubwa baada ya kushauriana na Kiwanga Doctors anayepatikana kwa namba +255 763 926 750. Alisisitiza kuwa alifuata ushauri wao na mambo yake yakabadilika.








No comments:
Post a Comment