Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bw.
Bakari Machumu akizungumza na Waandishi wa Habari wa Mtandaoni pamoja na
Wanablogu mbalimbali, Ikulu Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujitambulisha na
kupokea maoni yao, ikiwa ni mfululizo wa mikutano na wadau wa Tasnia ya Habari kwa
ajili ya kuboresha masuala mbalimbali ya Mawasiliano baina ya Kurugenzi ya
Mawasiliano ya Rais, Ikulu na Vyombo vya Habari, tarehe 27 Novemba, 2025.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Mabloga Tanzania (TBN) Bw. Beda Msimbe akizungumza
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA) Shaban Matwebe akizungumza.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Serikali katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mindi Kasiga, akizungumza.
Mshauri wa Rais Mawasuala ya Mawasiliano na Habari, Tido Mhando akizungumza
Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WAZOHURU MEDIA Ndg Mathias Canal akizungumza.
Mmiliki wa Fullshangwe Blog, John Bukuku akizungumza.
Mwanahabari Jane Edward, akichangia jambo kwenye kikao hicho.
Waandishi wa habari za mitandao wakiwa kwenye kikao hicho.Picha ya pamoja
Picha ya pamoja
Maswali yakiulizwa.
Mmiliki wa Manyunyu TV , akichangia jambo kwenye kikao hicho.
Mwanahabari Alphonce Kusaga akizungumza.























No comments:
Post a Comment