KILOSA WAPANDA MITI KUENZI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN. - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, January 27, 2026

KILOSA WAPANDA MITI KUENZI SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN.

Wanafuzi wakiwa na miche ya miti taayaaari kwa kuipanda maeneo mbalimbali ya wilani Kilosa katika upandaji wa miti ulioongozwa na mkuu waa wilayaa hiyo, Shaka Hamdu Shaka Januari 27, 2026 mkoani Morogoro.

........................................

Na Mwandishi Wetu, Kilosa

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amewaongoza viongozi na  wananchi wa makundi mbali mbali katika zoezi la kupanda miti katika eneo la Shule ya Msingi Dinima Tarafa ya Masanze  Januari 27 , 2026.

Tukio hilo adhimu ni sehemu ya kumbukumbu  ya siku 

ya kuzaliwa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia  Suluhu Hassan alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. 

Katika zoezi hilo wilaya ya Kilosa imekusudia kupanda miti 10,000 katika tarafa saba za wilaya hiyo.

Miche hiyo ya miti ikipandwa.




Upandaji miche ya miti ukiendelea


Miche ya miti ikiendelea kupaandwa.
 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad