Naitwa Agatha, mkazi wa mkoa wa Kagera. Licha
ya kuwa na heshima kubwa kazini kama Mwalimu Mkuu, nyumbani kwangu nilikuwa
sina thamani yoyote. Kwa miaka tisa ya ndoa, sikuwa nimewahi kuona hata dalili
ya ujauzito.
Ndugu wa mume wangu walikuwa wakifanya vikao
vya mara kwa mara bila mimi kuwepo, wakipanga jinsi ya kumtafutia mume wangu
mwanamke mwingine “mwenye uwezo wa kuleta uzao”. Nilihisi upweke wa ajabu
katikati ya watu ninaowapenda.
Nilitumia mishahara yangu mingi kusafiri hadi hospitali kubwa za rufaa, nikafanyiwa vipimo vyote vya kisasa ikiwemo vya mirija (HSG), lakini kila kitu kilionekana kuwa sawa. Hali hii ilinichanganya sana; kwanini kila kitu kiwe sawa lakini mwanangu asipatikane? Nilianza kuamini kuwa labda nilipangiwa kuishi maisha ya ukiwa hadi...








No comments:
Post a Comment