Maisha ya mtaani yanaweza kukunyanyasa mpaka ukajihisi huna
thamani, hasa unapokuwa mwanaume unayekaribia umri wa kuanza familia lakini
huna hata mahali pa uhakika pa kulaza kichwa.
Naitwa Kelvin, na kwa miaka mitano nilikuwa nikiishi maisha ya
“kupiga chapa” yaani kubahatisha hapa na pale ili nipate mlo wa siku.
Niliingia kwenye ulimwengu wa kubashiri (betting) kwa matumaini
makubwa ya kupata mtaji wa kuanzisha biashara ya gereji, kwani nina taaluma ya
ufundi wa magari lakini sikuwa na vifaa wala eneo.








No comments:
Post a Comment