ANAMILIKI MADUKA YA MAPAMBO YA NDANI BAADA YA MSOTO MKALI! - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, 25 February 2026

ANAMILIKI MADUKA YA MAPAMBO YA NDANI BAADA YA MSOTO MKALI!

Naitwa Said, mkazi wa jiji la Dar es Salaam, maeneo ya Kariakoo mtaa wa Congo. Kwa miaka tisa, nimekuwa nikihangaika na biashara ya kuuza mazulia, mapazia, na mashuka ya gharama. Kila mmoja anajua kuwa Kariakoo ndiyo moyo wa biashara, hivyo niliwekeza mamilioni ya pesa niliyopata baada ya kustaafu kazi yangu ya ulinzi.

Lakini ndugu zangu, nilichoambulia ni maumivu ya mgongo kwa kukunjua na kutandika mazulia kila asubuhi huku hakuna mteja anayenunua hata kitambaa cha meza.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad