Mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Mama Maria Nyerere, pamoja na waumini parokia ya Mtakatifu Petro Oysterbay Dar es Salaam, wakiwa katika ibada ya misa Takatifu ya kumwombe marehemu Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Cardinal Pengo, aliyefariki dunia Februari 19, 2026, akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam. Iliyoongozwa na Paroko wa parokia hiyo Bartholomeo Mrosso .
Thursday, 26 February 2026
Home
Habari
MAMA MARIA NYERERE ASHIRIKI IBADA YA MISA YA KUMWOMBEA MAREHEMU MUADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO
MAMA MARIA NYERERE ASHIRIKI IBADA YA MISA YA KUMWOMBEA MAREHEMU MUADHAMA POLYCARP KARDINALI PENGO
Tags
# Habari
Kuhusu - Singidaniblog
Habari
Tags:
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,







No comments:
Post a Comment