MWANAMKE ALIYEKUWA AKISINGIZIA UCHOVU KILA SIKU ABANWA NA MUMEWE - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, 26 February 2026

MWANAMKE ALIYEKUWA AKISINGIZIA UCHOVU KILA SIKU ABANWA NA MUMEWE

Kwenye meza ya udaku leo tuna mkasa wa Amina, aliyekuwa maarufu kwa kusingizia “nimechoka na kazi” kila saa za kulala zilipofika ili tu amkwepre mumewe. Ukweli ulikuwa mchungu na wa siri: Amina alikuwa na ukavu uliokuwa unamsababishia maumivu makali wakati wa tendo, kiasi cha kuogopa kitanda.

Badala ya kutafuta tiba, alikuwa akijificha kwenye kivuli cha uchovu wa kazi za ofisini na za nyumbani. Siku moja mume wake alimlipukia kwa hasira na kusema hawezi kuendelea kuishi na mwanamke asiyemuhitaji chumbani, huku akitishia kudai talaka mara moja.

Amina alihisi naye ana laana ya ajabu kwasababu tangu awe mkavu, hata uso wake ulikosa nuru na mvuto. Alihisi naye nimerogwa na wanawake waliokuwa wakimnyatia mume wake mwenye cheo kikubwa serikalini ili wamng’oe Amina kwenye nafasi yake. Alikuwa na hofu kubwa ya kuachwa na kurudi kwao na aibu ya kushindwa kuhimili ndoa.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad