Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akipiga ngoma mara baada ya kumaliza Mkutano wake wa hadhara na Wananchi wa Mombo, Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 16 Februari, 2026.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na wananchi mara baada ya kumaliza Mkutano wake wa hadhara na Wananchi wa Mombo, Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 16 Februari, 2026.









No comments:
Post a Comment