Naitwa Grace, mwanamke ambaye tangu nikiwa binti mdogo nilijiamini kwa kila kitu kuanzia elimu yangu hadi urembo wa asili niliojaliwa. Lakini kadiri miaka ilivyokuwa ikisogea, niligundua kuwa urembo wangu ulikuwa kama pambo la ukutani ambalo kila mtu analitazama lakini hakuna anayethubutu kulichukua na kwenda nalo nyumbani.
Kwa zaidi ya miaka nane, niliishi maisha ya upweke uliokithiri kiasi kwamba hata wanaume wa mtaani walikuwa wanaogopa kunisalamia.








No comments:
Post a Comment