TAHADHARI: BIASHARA NYINGI SASA ZINAONGEZEKA MAPATO KWA KUTUMIA MBINU HIZI - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, 22 March 2026

TAHADHARI: BIASHARA NYINGI SASA ZINAONGEZEKA MAPATO KWA KUTUMIA MBINU HIZI

Katika siku za hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mkubwa miongoni mwa wafanyabiashara Tanzania kuhusu mbinu mpya zinazodaiwa kusaidia kukuza biashara kwa kasi isiyo ya kawaida.

 Wengine wanaziita siri za mafanikio, huku wengine wakizitazama kama njia mbadala ya kuongeza ushindani sokoni.

 Lakini ukweli ni kwamba, baadhi ya wafanyabiashara wanaripoti ongezeko kubwa la wateja na mapato ndani ya muda mfupi.

Mimi ni Salum, mfanyabiashara wa bidhaa za jumla kutoka Dar es Salaam. Kabla ya kugundua mbinu hizi, biashara yangu ilikuwa inadorora. Wateja walipungua, madeni yaliongezeka, na nilikuwa karibu kufunga kabisa.

 Nilijaribu mikakati ya kawaida kama matangazo na punguzo la bei, lakini haikusaidia sana.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad