Mimi naitwa Elizabeth, natokea mkoani Dodoma, maeneo ya Area D. Maisha yangu ya ndoa yalikuwa kwenye kilele cha mafanikio kwa nje kwa sababu mume wangu ni mwanasiasa anayejulikana nchi nzima. Lakini siri iliyokuwa ndani ya nyumba yetu ilikuwa ni ya kusikitisha.
Kwa muda mrefu, nilikuwa napitia changamoto ya kukosa hamu ya tendo la ndoa na kuwa mkavu kiasi kwamba nikawa naogopa kumuona mume wangu akirudi nyumbani.








No comments:
Post a Comment