INEC WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, 9 March 2026

INEC WASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Wanawake kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Leo tarehe 08 Machi, 2026 wameshiriki katika maadhimisho ya siku wanawake duniani ambayo kimkoa yamefanyika katika uwanja wa shule ya msingi Mbande iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad