KWA MARA YA KWANZA, NILIONA MWANAMKE ASIYEJALI PESA ZANGU BALI UTU - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, 25 March 2026

KWA MARA YA KWANZA, NILIONA MWANAMKE ASIYEJALI PESA ZANGU BALI UTU

Naitwa Kelvin, mkazi wa Arusha. Katika jamii yetu, mwanaume anapofikisha umri fulani bila mke, anaanza kudharauliwa. Mimi nilikuwa na kila kitu; gari, nyumba, na biashara zinazojulikana, lakini kitanda changu kilikuwa baridi kila usiku.

Nilikuwa na miaka 42, na kila binti niliyemvutia alikuwa ananiona kama kaka tu (friendzone). Sikuwahi kupata mwanamke aliyenipenda kwa dhati, wote walitaka pesa zangu na kisha kunisaliti na vijana wadogo.

SOMA  ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad