Nilikuwa nakosa usingizi kila usiku kwa sababu ya madeni, mpaka siku moja nilipopata wazo lililobadilisha maisha yangu
Jina langu ni Peter. Mimi ni kijana kutoka Arusha ambaye kwa muda mrefu nilikuwa napambana na hali ngumu sana ya kifedha. Kuna kipindi katika maisha yangu ambapo kila kitu kilikuwa kinaonekana kinaharibika kwa wakati mmoja.
Nilikuwa na deni kubwa sana.
Na kila siku nilikuwa najiuliza nitafanya nini ili kulipa.
Madeni Yalianza Polepole
Tatizo lilianza pale nilipoamua kuanzisha biashara ndogo ya kuuza vifaa vya simu.








No comments:
Post a Comment