NILIPOTEZA WATEJA WOTE KWA WIKI MOJA, MPAKA NILIPOGUNDUA KOSA KUBWA NILILOKUWA NAFANYA - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, 11 March 2026

NILIPOTEZA WATEJA WOTE KWA WIKI MOJA, MPAKA NILIPOGUNDUA KOSA KUBWA NILILOKUWA NAFANYA

Nilipoteza wateja wote kwa wiki moja, mpaka nilipogundua kosa kubwa nililokuwa nafanya

Jina langu ni Abdul. Mimi ni mfanyabiashara wa vyakula katika mji wa Tanga. Kwa zaidi ya miaka mitatu nilikuwa na mgahawa mdogo ambao ulikuwa unafanya vizuri sana.

Watu wa mtaa walikuwa wanapenda sana chakula changu.

Kila siku mchana mgahawa wangu ulikuwa umejaa wateja. Wafanyakazi wangu walikuwa wanashughulika sana kuwahudumia watu.

Kwa kifupi, biashara ilikuwa inaenda vizuri.

Lakini ghafla kila kitu kilibadilika.

ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad