RAIS . DKT. SAMIA AFUTURISHA MABALOZIWANAOZIWAKILISHA NCHI ZAO - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, 3 March 2026

RAIS . DKT. SAMIA AFUTURISHA MABALOZIWANAOZIWAKILISHA NCHI ZAO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Iftaraliyowaandalia Mabalozi wanaoziwakilisha Nchi zao Tanzania pamoja na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Machi, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza Mabalozi wanaoziwakilisha Nchi zao Tanzania pamoja na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa mara baada yaIftar aliyowaandalia, Ikulu Jijini Dar es Salaam,tarehe 03 Machi, 2026.
Mabalozi, viongozi mbalimbali pamoja na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa kwenye Iftar iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad