Tabia iliyozua mgogoro wa kifamilia
Kulikuwa na sintofahamu katika familia moja mjini Kisumu baada ya mali kuanza kupotea mara kwa mara nyumbani. Vitu vya thamani vilikuwa vinapotea bila maelezo, hali iliyosababisha tuhuma na mvutano mkubwa miongoni mwa wanafamilia.
Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia, walijaribu kuchunguza kwa njia mbalimbali lakini hawakupata ushahidi wa moja kwa moja. Hali hiyo ilifanya kila mtu kuanza kumshuku mwenzake, na uhusiano wao ukaanza kudhoofika.








No comments:
Post a Comment