𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐀𝐀𝐍𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐈𝐒𝐇𝐀: 𝐀𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐀𝐊𝐈𝐎𝐍𝐆𝐄𝐀 𝐍𝐀 “𝐑𝐀𝐅𝐈𝐊𝐈” 𝐀𝐒𝐈𝐘𝐄𝐎𝐍𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, April 30, 2026

𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐀𝐀𝐍𝐈𝐊𝐀 𝐒𝐈𝐑𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐈𝐒𝐇𝐀: 𝐀𝐄𝐋𝐄𝐙𝐀 𝐀𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐀𝐊𝐈𝐎𝐍𝐆𝐄𝐀 𝐍𝐀 “𝐑𝐀𝐅𝐈𝐊𝐈” 𝐀𝐒𝐈𝐘𝐄𝐎𝐍𝐄𝐊𝐀𝐍𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈

Hofu na mshangao umetanda katika familia moja jijini Tanga baada ya mtoto wa miaka saba kudai kuwa amekuwa akiongea na rafiki asiyeonekana kwa macho ndani ya nyumba yao.

 Kauli ya mtoto huyo imeibua maswali mazito huku wazazi wakihaha kutafuta ukweli wa jambo hilo lisilo la kawaida.

Kwa mujibu wa mama wa mtoto huyo, tukio hilo lilianza kama mchezo wa kawaida lakini baadaye likageuka kuwa la kutisha.

 Mtoto alianza kutaja jina la mtu ambaye hakuna mtu anayemfahamu, akidai kuwa “rafiki” huyo huja kucheza naye kila jioni.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad