Sikuwahi kufikiria kuwa maisha yangu yangekuja kubadilika kwa namna hiyo nikiwa katika umri wangu.
Nilikuwa tayari nimekubali kuwa safari ya kuwa baba ilikuwa imefika mwisho. Watu wengi walikuwa wamenihesabu kama “finished”, na hata mimi nilikuwa nimeanza kuamini hivyo.
Kwa miaka mingi nilikuwa nikikumbwa na changamoto za kiafya na kupoteza nguvu za kiume.
Ndoa yangu ilikuwa imeanza kuwa cold, na mke wangu alikuwa ameanza kukata tamaa polepole. Nilihisi kama maisha yangu yalikuwa yanaenda down kabisa.








No comments:
Post a Comment