NILIJIONA KAMA MWANAMKE MWENYE NUKSI YA UKOO HADI NILIPOPATA DAWA - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, April 19, 2026

NILIJIONA KAMA MWANAMKE MWENYE NUKSI YA UKOO HADI NILIPOPATA DAWA

Mimi naitwa Mariam, mkazi wa mkoa wa Kagera, Bukoba. Kwa miaka kumi na tano, maisha yangu yamekuwa ni mfululizo wa maumivu ya mahusiano. Nilikuwa na umri wa miaka 37, nikiwa mwanamke mrembo na mwenye maadili, lakini kwa namna ya ajabu, hakuna mwanaume aliyewahi kunihitaji kwa ajili ya ndoa.

Kila mwanaume aliyekuja kwangu alikuwa ananidanganya na kunitumia, kisha ananiacha nikiwa na majeraha ya moyo. Ikafikia hatua nikaanza kujiita mwanamke mwenye nuksi, na jamii ya huku Bukoba ilikuwa ikiniangalia kwa jicho la mashaka.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad