NILIVYOFANIKIWA KUMTOA MTOTO WANGU KWENYE ULEVI WA MITANDAO NA KUMRUDISHA SHULENI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, April 15, 2026

NILIVYOFANIKIWA KUMTOA MTOTO WANGU KWENYE ULEVI WA MITANDAO NA KUMRUDISHA SHULENI

Mimi nilikuwa mzazi mwenye huzuni kubwa baada ya mtoto wangu kubadilika ghafla. Alianza kutumia muda mwingi kwenye simu na mitandao kiasi kwamba aliacha kabisa kuzingatia masomo. Kila nilipojaribu kumkanya, alikataa kusikiliza.


Alikuwa mkali, hakutaka ushauri, na hata kuhudhuria shule kulianza kuwa shida. Hali hii ilinichanganya sana. Nilihisi kama ninampoteza mtoto wangu polepole, na sikuwa na njia ya kumrudisha kwenye mstari sahihi.

ENDELEA  KUSOMA


No comments:

Post a Comment

Post Top Ad