𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐎𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐌𝐈𝐕𝐔 𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐘𝐎𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐒𝐏𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐓𝐀𝐓𝐈𝐙𝐎 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, 23 April 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐎𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐌𝐈𝐕𝐔 𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐘𝐎𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐒𝐏𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐓𝐀𝐓𝐈𝐙𝐎

Maumivu yalianza kama kitu kidogo tu. Tumbo lilikuwa linaniuma mara kwa mara, hasa usiku na asubuhi. Mwanzoni nilipuuzia, nikidhani ni chakula au uchovu. Lakini kadri siku zilivyopita, maumivu yalizidi kuwa makali na ya mara kwa mara.


Nilienda hospitali mara kadhaa. Nilifanyiwa vipimo tofauti damu, mkojo, hata scan. Kila mara niliambiwa hakuna tatizo kubwa limeonekana. Nilipatiwa dawa za kupunguza maumivu, lakini hazikudumu. Baada ya muda mfupi, hali ilirudi vile vile.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad