Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akitoa salamu kwa waumini mara baada ya kushiriki ibada katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mufindi, lililopo Mafinga Mjini, mkoani Iringa leo tarehe 3 Mei, 2026.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, akisalimiana na Watoto nje ya kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Mufindi baada ya kushiriki Ibada katika kanisa hilo lililopo Mafinga Mjini, mkoani Iringa leo tarehe 3 Mei, 2026.
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU












No comments:
Post a Comment