𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐃𝐀𝐈 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐓𝐈𝐒𝐀 𝐀𝐊𝐈𝐍𝐈𝐎𝐌𝐁𝐀 𝐍𝐈𝐏𝐄𝐀𝐍𝐄 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐔𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐍𝐀𝐍𝐄 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, May 11, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐓𝐔 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐄𝐌𝐃𝐀𝐈 𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐓𝐈𝐒𝐀 𝐀𝐊𝐈𝐍𝐈𝐎𝐌𝐁𝐀 𝐍𝐈𝐏𝐄𝐀𝐍𝐄 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐔𝐒𝐈𝐊𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐍𝐀𝐍𝐄

Sikuwahi kufikiria kwamba pesa nilizokuwa nimemkopesha rafiki yangu wa karibu zingekuja kuwa chanzo cha msongo mkubwa kiasi kile maishani mwangu.

 Mwanzoni nilimsaidia kwa moyo mmoja tu. 

Alikuja kwangu akiwa na shida kubwa, akaniambia alikuwa anapitia kipindi kigumu sana na angenirudishia fedha zangu ndani ya wiki chache.

Kwa sababu tulikuwa tumeaminiana kwa miaka mingi, sikusita kumsaidia. Wiki zikapita. Mwezi mmoja ukageuka miezi miwili. Kila nilipoulizia pesa zangu, alikuwa na sababu mpya.

 Mara biashara haijaenda vizuri, mara kuna mgonjwa nyumbani, mara aliahidi atalipa “wiki ijayo.” Mwanzoni nilikuwa mvumilivu, lakini kadri muda ulivyopita...ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad