Kwa miaka mingi nilikuwa nikiishi maisha ya mateso kutokana na kisukari. Kila siku ilikuwa mapambano dawa, vipimo, uchovu, na hofu ya hali yangu kuzidi kuwa mbaya. Nilijaribu kufuata kila ushauri niliopewa hospitalini, lakini bado sikuwa najihisi sawa kabisa.
Mwanzoni nilikuwa na matumaini kuwa hali ingetulia haraka, lakini kadri miaka ilivyopita, nilianza kuona maisha yangu yakibadilika vibaya. Mwili ulikuwa dhaifu mara kwa mara, nilikosa usingizi wa kutosha, na wakati mwingine hata kufanya kazi ndogo tu ilikuwa changamoto.









No comments:
Post a Comment