𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗗𝗔𝗞𝗜𝗞𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗞𝗨𝗚𝗘𝗨𝗞𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗙𝗟𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗡𝗜𝗨𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗞𝗢𝗡𝗢 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗔𝗥𝗔𝗝𝗜𝗔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, May 9, 2026

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗔 𝗞𝗨𝗥𝗔 𝗭𝗔 𝗨𝗢𝗡𝗚𝗢𝗭𝗜 𝗗𝗔𝗞𝗜𝗞𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗦𝗛𝗢 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨 𝗞𝗨𝗚𝗘𝗨𝗞𝗔 𝗚𝗛𝗔𝗙𝗟𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗡𝗜𝗨𝗡𝗚𝗔 𝗠𝗞𝗢𝗡𝗢 𝗕𝗜𝗟𝗔 𝗞𝗨𝗧𝗔𝗥𝗔𝗝𝗜𝗔

Siku nilipotangaza kuwa ningegombea nafasi ya uongozi, watu wengi hawakunichukulia kwa uzito. Wengine walicheka waziwazi, wakisema sina jina kubwa wala pesa za kushindana na waliokuwa tayari wamezoeleka kwa watu.

Mwanzoni nilikuwa na matumaini. Nilizunguka nikiongea na watu, nikieleza mipango yangu na kile nilitaka kubadilisha.


Lakini kadri kampeni zilivyoendelea, nilianza kuona hali si nzuri upande wangu. Watu waliokuwa wakiniahidi kunipigia kura walibadilika ghafla.

 Wengine walikuwa hata wanaepuka kuonekana karibu nami. Ilifika hatua nikaanza kuhisi kama nilikuwa napoteza muda wangu bure.

ENDELEA  KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad