𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐌𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐂𝐑𝐔𝐒𝐇 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐀𝐀𝐍𝐙𝐄 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐏𝐈𝐆𝐈𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐉𝐈𝐎𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐎𝐍𝐀 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐅𝐈𝐊𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐖𝐀𝐈𝐃𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐌𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐂𝐑𝐔𝐒𝐇 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐀𝐀𝐍𝐙𝐄 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐏𝐈𝐆𝐈𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐉𝐈𝐎𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐎𝐍𝐀 𝐊𝐀𝐌𝐀 𝐑𝐀𝐅𝐈𝐊𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐖𝐀𝐈𝐃𝐀

Kwa muda mrefu nilikuwa na feelings kwa mtu mmoja ambaye nilimpenda kimya kimya. Kila nikimuona moyo ulikuwa unadunda tofauti, lakini kwake mimi nilionekana kama rafiki wa kawaida tu. Tulizungumza vizuri, tulicheka, lakini haikuwahi kwenda zaidi ya hapo.

Kilichoniumiza zaidi ni kuona akionyesha interest kwa watu wengine huku mimi nikiwa karibu naye kila siku. Wakati mwingine nilijaribu kumpa hints kidogo, lakini alionekana kutonielewa kabisa. Nilianza kujiuliza kama labda sikuwa type yake.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad