𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐏𝐑𝐎𝐌𝐎𝐓𝐈𝐎𝐍 𝐊𝐀𝐙𝐈𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐔𝐔𝐙𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐎𝐒𝐈 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐔 𝐆𝐇𝐀𝐅𝐋𝐀 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐎𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐏𝐑𝐎𝐌𝐎𝐓𝐈𝐎𝐍 𝐊𝐀𝐙𝐈𝐍𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐔𝐔𝐙𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐁𝐎𝐒𝐈 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐇𝐄𝐒𝐇𝐈𝐌𝐔 𝐆𝐇𝐀𝐅𝐋𝐀 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐒𝐀𝐁𝐀𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐋𝐈𝐘𝐎𝐄𝐋𝐄𝐖𝐀

Kwa miaka mingi nilifanya kazi sehemu moja bila kuona mabadiliko yoyote. Nilikuwa nafika mapema kuliko wengi, naondoka kuchelewa, na kuhakikisha kila kazi niliyopewa nimeifanya vizuri. Lakini kila ilipofika wakati wa promotion, majina ya wengine ndiyo yalikuwa yanatajwa mimi nikibaki pale pale.

Kilichoniumiza zaidi ni kuona watu niliowafunza kazi wakipandishwa vyeo kunizidi. Wakati mwingine nilikuwa nikibaki ofisini nikijiuliza kama kweli juhudi zangu zilikuwa zinaonekana au nilikuwa napoteza muda wangu tu. Bosi wangu hakuwa hata ananipa nafasi ya kusikilizwa.

ENDELEA     KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad